Mamlaka ya jina la yesu. 🔥 Litumie kuteka na kuangusha ufalme wa .
Mamlaka ya jina la yesu Tunazaliwa mara ya pili kwa jina la Yesu (Yohana 1:12). Jina la Yesu ni silaha yetu yenye nguvu ya kushinda majaribu ya maisha ya kila siku! Kwa imani na shukrani, tuna uwezo wa kumshinda adui wetu na kufurahia uzima kwa utukufu wa Mungu. Jina lipitalo majina yote (The Name above all other names) Duniani na mbinguni (On Earth and in heaven) Tena lenye mamlaka yote (With all the authority) Humu ulimwenguni (Here on Earth) Limeinuliwa juu (Jina La Yesu x2) ( ) x2 Refrain: Jina lako Yesu (Your Name, Jesus) ( )x2 Lina uweza, aaa (Has Might/Power) ( )x2 Kila goti litapigwa (Every knee will bow) JUA NAMNA YA KUITUMIA MAMLAKA YA JINA LA YESU. ingawa neno wamelisikia. maombi ya vita dhidi ya wachawi na nguvu za giza. Waefeso 1:21-23; Waebrania 1:3-4. 🏻 Lakini sasa tuangalie jambo la pili hapo juu 2⃣ Jina na damu ya Yesu 🏻 Tuangalie namna ya kujisimamia mwenyewe ukitumia jina la Yesu kushinda ufalme wa giza Akaniambia, Mwanadamu, simama kwa miguu yako, YESU! jina tamu, Jina la YESU si jina la kawaida—ni jina lenye nguvu kuliko yote. See more of Soma na tafakari Neno la Mungu. Agano lolote la damu na nguvu za giza lililofungwa kwenye kiungo chochote kwenye mwili wangu, nalivunjike sasa. Na Mwl Ev Ps Lukumay, 0755203300. TANGAZO KUU LA Imekuwa kama tulivyoomba nami napokea ushindi mkuu kuanzia sasa nimevuka kwa mamlaka ya jina kuu la Yesu Kristo Ameen . Frida Felix lyrics by Paul Clement, listen and download latest songs of Paul Clement with lyrics on Boomplay. 4d. 14 Mkiniomba cho chote kwa jina Ndivyo itakavyokuwa kwako siku ya leo. Jina la Yesu lina mamlaka kubwa, kama inavyoonyeshwa katika Wafilipi 2:9-10, ambapo inasema kwamba jina la Yesu limepewa mamlaka juu ya majina yote. " Rejeo la Paulo kwenye “jina la Yesu” lilimaanisha mamlaka na haki ya kisheria aliyo nayo Kristo. Nimepewa mamlaka ya kubatilisha haki zote zilizopo kwenye maagano yote ya damu na nguvu za giza . Create new account. “BWANA ameweka kiti chake cha enzi mbinguni, Na ufalme wake unavitawala vitu vyote” (Zaburi maisha ya kawaida mtu anayo DAMU na vilevile analo JINAJina la mtu linaelezea utambulisho wa mtu yule, cheo alicho nacho, heshima aliyo nayo, nguvu aliyo nayo na mamlaka aliyonayo. Brian Ivanny . Hata wewe usipoamini kwamba Jina la Yesu ni kuu kuliko majina yote, linashinda kila kitu na lina mamlaka yote ya kufanya kile kinachotamkiwa, basi usitegemee kupata matokeo yo yote mazuri. Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lolote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lolote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni” (Mathayo 16:18 – 19). Jina la Yesu lina mamlaka ya upokeaji ( kupokea kile ulichokiomba ). Kwa jina Kwa agizo tu hilo la raisi unakuwa na mamlaka hata ya kuwaharakisha wale wahusika wafanye haraka, nao watatii na kutimizi ndani ya ule wakati walioambiwa. Tunakataa taarifa mbaya juu yetu na familia zetu na kila kitu chetu Kwa mamlaka ya jina ya Yesu. Kwa hiyo Yesu Kristo anaposema atalijenga kanisa lake wala milango ya kuzimu haitalishinda – ana maana ya kuwa, kila mkristo aliye wake anajengwa kiroho awe na mamlaka ya kumshinda shetani. Ee utatu Mtakatifu wa Mwenyezi Mungu; +Baba, Jina la Yesu Ft. 🔥 Litumie kuteka na kuangusha ufalme wa Kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, maana yake Jina la Yesu lipate heshima inayostahili kila mahali. Warumi 10:9 "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako Jina la Yesu na Mamlaka Yake. Maelezo juu ya kuzaliwa kwa Yesu (Isa) yanaelezwa kwa upana zaidi kupitia maandiko ya vitabu vyote yaani ndani ya Qur-an katika sura ile ya 19 surat Mariam na kibiblia ni katika kitabu cha Injili ya Mtume luka 1:26 na kuendelea, hebu tuanze na mafunuo ya Qur-an tukufu vile yanavyoeleza kwa ujumla juu ya tukio hili la kihistoria. ”Anafafanua baptidzo with eis onoma kama“kutangaza jina la mtu ambaye tunakuwa mfuasi wake. jinsi anavyoamini ndio matokeo anayopata,majaribu anayopitia, hawana hakika ya mamlaka iyo isiyoonekana kama kweli itamsaidia kwenye tatizo lake. La sivyo, niaminini kwa sababu ya haya mambo ninayotenda. Jina la Yesu kuwa juu ya majina yote, maana yake ni kwamba mamlaka yake iko juu ya mamlaka nyingine zote. Jina maagano na ahadi ni jina la Yesu tu. Kama Findlay anavyoeleza; “Jina la Bwana Yesu, linaelezea mamlaka yake kama Bwana (Spence na Exell, 1958, uk. Kila Mkristo anao uwezo wa kuwatoa pepo! Sio swala la kwamba "una nguvu" kiasi gani au jinsi gani upo "kiroho" ; cha muhimu ni kuwa Yesu Amekupa mamlaka Yake; unatembea katika jina Lake. Kuna wakristo wengi wameonewa na Ibilisi kwa kuwa hawajui mamlaka waliyo nayo na Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mta Mathayo 28:18-20 Yesu akaja karibu, akawaambia, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. Jina la Yesu ni la kipekee na lina nguvu kubwa. BWANA YESU APEWE SIFA MPENDWA. Nabii ana mamlaka ya kuzungumza na kutenda katika jina la Mungu kwa ajili ya wokovu wa watoto Wake. Wakristo waliookolewa kwa damu ya Yesu Kristo ni viungo vya mwili wa Kristo – ni viungo vya kanisa (1 Wakorintho 12:12, 13, 27). . 3 Yeye alitamani sana kumwona Yesu lakini hakuweza kwa sababu ya umati mkubwa wa watu, naye alikuwa mfupi sana. Mwambie kuwa kuanzia leo, hana mamlaka na familia yako katika Jina la Yesu. Likiwa moja wapo ya JINSI YA KUPATA MAMLAKA YA KUTUMIA JINA LA YESU LAZIMA UOKOKE. Mkumbuke Mfalme Daudi wakati Akifafanua matumizi moja ya onoma kama “Kihebrania hasa,” Thayer anafafanua maana ya Mathayo 28:19 kama, “kwa ubatizo kumfunga mtu yeyote kutambua na kukiri hadharani hadhi na mamlaka ya mtu. Linatoa wokovu, uponyaji, ukombozi, majibu ya maombi, na ushindi dhidi ya giza. Log In. Usitumie jina lingine lolote lililo nje ya jina la Yesu. Tumia mamlaka yako katika Kristo YESU NA MAMLAKA “Kwa sababu ndio mlioitiwa; maana Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akawaachia kielelezo, mfuate nyayo zake. 68. Mchungaji Kiongozi Joshua Josephat Mwingira. Mamlaka ya Ukuhani. 1:42 Petro Jina la Kiyunani “Petro”, kama jina la Kiaramu “Kefa”, linamaananisha “mwamba”. Tunapozaliwa mara ya pili tunapokea nguvu/mamlaka ndani yetu ambayo hapo kabla hatukuwa nayo kama maandiko yanavyosema. Mdo 5:28 "Je, hatukuwaamuru ninyi kwa nguvu, msifundishe kwa Jina hili?. Mamlaka ya Yesu yamejengwa chini ya mamlaka ya Mungu, naye ni Mungu, na pasipo Yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika, Yoh 1:1-3. Tunafungulia Baraka za juma 19 1 Yesu akaingia Yeriko, akiwa safarini kuelekea Yerusalemu. Kwanini Yeye ni zaidi kwasababu anasema "Nimepewa mamlaka YOTE mbinguni na duniani" ( Mathayo 28:18). Kama umeingia vitani kwa kibali cha Mungu,basi Jina la YESU lina uwezo wa kukusaidia ushinde hivyo vita. Katika fungu la maandiko hapo juu, Yesu alituachia kielelezo cha namna ya kuhimili mateso. Waefeso 6:12"KWA MAANA KUSHINDANA KWETU SISI SI JUU YA DAMU NA NYAMA; BALI NI JUU YA FALME NA MAMLAKA" Ufalme huu wa shetani una WACHAWI, MAPEPO, MAJINI, MIZIMU, WAGANGA Fanuel Sedekia lyrics for Jina la Yesu with video Jina la yesu ni ngome yangu nitamkapo jina hilo ngome nyingine sina nitamkapo jina hilo ngome nyingine sina. Ndivyo ilivyo kwa Yesu, utauliza ni kwanini tunaomba kwa jina la Yesu,. {nb Juu ya haya mimi natoa ushuhuda wangu katika jina la Yesu Kristo, amina. Yesu (kwa Kiebrania יֵשׁוּעַ, Yeshua, kifupisho cha יהושע, Yehoshua, yaani "Mungu anaokoa") alikuwa Myahudi mwanamume aliyeishi miaka 2000 hivi iliyopita (labda 6 KK - 30 BK). Ndio maana kila tunapoomba tunamalizia kwa kusema ‘katika jina la Yesu’. 🔥 Unapolitaja jina la Yesu tambua kuwa unalitaja jina lenye nguvu kupita majina yote . 155). Kwa maneno mengine kwa sababu ya jina lake, Yesu alisema; “Amin, amin, nawaambia, Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu. The power of faith in the name of Jesus is truly amazing! It brings us freedom and victory every single day. Kanisa la Yesu Kristo limejengwa kwenye msingi wa manabii na mitume (ona Waefeso 2:19–20; 4:11–14). Kwa mfano: tunaokolewa kwa jina la Yesu (matendo ya mitume 4:12). " kwa wale walio na imani katika nguvu na mamlaka ya jina la Yesu. . Tunazaliwa mara ya pili kwa jina la Yesu (yohana 1:12). Pindi tunapozaliwa mara ya pili tunakuwa ni watu wa tofauti kabisa na kipindi tukiwa bado hatujazaliwa mara ya pili. Ninachokifanya, kila nikiumwa, namuomba Mungu aniponye kwa Jina la Yesu, kisha naweka mkono wangu juu ya sehemu inayoumwa na kuuamuru ugonjwa utoke kwa Jina la Yesu; kisha naamini kwamba imekuwa hivyo. Jina lake linachukua mahali pake; jina lake linamwakilisha. Shetani hana haki ya kuendesha mambo katika maisha yako, au nyumbani mwako au katika maisha ya wale uwapendao. Kushindana. 2. 29 Na kila mtu aliyeacha nyumba au ndugu zake au dada zake au baba au mama au watoto wake au Iko nguvu isiyokuwa ya kawaida kwenye maneno ya kinywa chako katika kutamka kwako kama utajifunza kulitumia jina la Yesu. Kutoa pepo kwa amri na mamlaka. Home. Kama waumini, tumetakiwa kulitumainia Tumia jina la Yesu Tunamiliki na kutawala kwa sababu tuna mamlaka ya jina la YESU KRISTO. Kama wana na binti walionyakuliwa kwa Baada ya Yesu Kristo kufufuka anasema nimepewa mamlaka yote ya mbinguni na duniani basi enendeni katika hiyo mamlaka mkaitumie, ungana na Mwalimu katika somo hili akifundisha mamlaka ya Jina la Yesu ni jina lenye nguvu, ambalo haliwezi kufananishwa au kubadilishwa na jina lingine. 4d · MAOMBI YA ASUBUHI. Maneno haya ya Yesu Kristo yanatuonyesha Sasa anza kumwabia Shetani kuwa ameshindwa kwa Jina la Yesu. Mwambie kuwa Ushindi ni wako katika Jina la Jina la Yesu linatupa mamlaka: Tunapomwita jina la Yesu, tunapata mamlaka ya kushinda kila aina ya nguvu za giza. Amina. Jina la Yesu lina mamlaka kubwa, kama inavyoonyeshwa katika Wafilipi 2:9-10, ambapo inasema kwamba jina la Yesu limepewa Yesu amekupa amri na mamlaka ya kwenda ulimwenguni. Twaweza kusema Jina la Yesu ndani ya Kanisa, yaani wale waliomwamini, ni Yesu mwenyewe atendaye kazi Tukiwa tunaendelea na mfululizo wa somo la itifaki ya mamlaka kwenye ufalme wa Mungu, Sehemu ya pili leo tutaangalia juu ya mamlaka iliyopo ndani ya JINA LA Kwa mfano: tunaokolewa kwa jina la Yesu (matendo ya mitume 4:12). Ni jina la Yesu pekee huweza kuponya,kuokoa na kuhuisha, hata mapepo yanajua hivyo. Tafakari ya Jina la Yesu. Mwanzo 1:26-27 ''MUNGU akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; WAKATAWALE samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho Huo ni mfano mzuri kwa wasiona na imani kwenye jina la Yesu, wakifikiri wanaweza tu kutaja bila kuwa na imani. Bwana Yesu asifiwe sana wana wa Mungu, ni kwa neema ya Mungu tu kuwa tumepata tena nafasi ya kujifunza tena neno la Facebook. Tunapopigana vita kwa jina la Yesu, tunatumia mamlaka ya Kristo kushinda nguvu za giza. Lina mamlaka kupita majina yote. Baada ya Mungu kumtumia Petro kumponya kiwete mwombaji, mtume huyo aliwaeleza walimtizama kwa mshangao kuwa mtu huyu ambaye ameponywa sio kwa nguvy za Petro bali kwa imani katika jina la Yesu Kristo: "Enyi Waisraeli, mbona mnastaajabia haya, au mbona mnatukazia macho sisi, kana kwamba tumemfanya huyu aende kwa nguvu zetu sisi, au kwa Zingatia kuomba kwa MUNGU kupitia jina la YESU. about Leo kwa Mamlaka ya jina la YESU KRISTO fungua kila kifungo cha shaba popote ulipofungwa kwacho kwenye ulimwengu wa roho katika eneo lolote la maisha yako. Ukuhani ni mamlaka na nguvu za Mungu. Hymns. Neno la Mungu ni mamlaka yetu pekee ya kuamua nini cha kuamini na jinsi ya kutenda (Wakolosai 3:17). Whether we're facing Katika Jina La Bwana Wetu Yesu Kristo Wa Nazarethi Ninaiondoa Dhambi Na Laana Ya Nchi Yangu, Mji Wangu, Na Kijiji Changu Ninavunja Laana Zote, Matambiko Maagano Na Mazindiko Yaliyofanywa Dhidi Ya Watu Wote, Wenye Mamlaka, Wakuu Wa Serikali, Vyama, Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama Na Vyombo Vya Habari Na Mawasiliano; Na Ninaharibu Nguvu Zote Kila Mkristo anao uwezo wa kuwatoa pepo! Sio swala la kwamba "una nguvu" kiasi gani au jinsi gani upo "kiroho" ; cha muhimu ni kuwa Yesu Amekupa mamlaka Yake; unatembea katika jina Lake. Unaamuru kwa jina la Yesu atoke naye hutoka. Nabii wa sasa ndiye kiongozi msimamizi anaeshikilia ukuhani duniani. " Somo: KUHARIBU MADHABAHU UKOO NA ADUI JUU YA MAISHA YAKO KWA JINA NA KWA DAMU YA YESU KRISTO. wenye lengo la kutubadilishia Maono yetu tuwapo usingizini Kwa mamlaka ya jina la Yesu. karibu tuyatafakari maneno ya uzima. nakuamuru kwa jina la Yesu Kristo mtoke huyu, Akamtoka saa ile KAZI 12 ZA DAMU YA YESU KRISTO. Siri za Nguvu ya Jina la Yesu . Ni vizuri ufahamu ya kuwa kwa kuwa umemwamini Kristo rohoni mwako kama Unaona hapo ili jina la YESU liwe na nguvu ni sharti umpokee yeye kwanza, na ukishampokea ndipo unapokuwa na mamlaka ya kulitumia jina hilo kuwasilisha mahitaji yako kwa Mungu, vilevile kuziamrisha nguvu za giza, na Shetani hana mamlaka ya kukizuia kile ulichokiomba kupitia jina la Yesu . Kumbuka jinsi uponyaji huu ulitokea (vs 6) - "Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, tembea. Moto wa Roho Mtakatifu ukateketeze kila kilichopanga kuua Yesu alijua kwamba watabadilisha mawazo watakapoona utukufu wa Roho wake ndani yao na nguvu zilizokuwepo kwa kila mmoja wao kupitia kwa faida ya kutumia jina lake katika maombi. Hakikisha tu unaishi maisha matakatifu na unaliishi Neno la MUNGU. Ulitumiapo jina la Yesu ni kama vile unamuachilia Yesu atende kazi Yesu kwa mamlaka ya Baba, alitumia nguvu hizo kuokoa wenye dhambi, na jina Lake pekee ndilo jina pekee tutakalo liita kwa wokovu (Matendo 4:12). Siku zote Ndoto ya kuwa uchi wa mnyama yaani bila nguo ukiwa unatembea au ukiwa unazungumza katikati ya watu, au mamlaka ya jina la yesu tuliyopewa ndio mamlaka inayotawala mbingu ya kwanza, ya pili, na ya tatu pia. Ili kulitumia Jina la YESU ni lazima kwanza uwe na imani juu ya Jina hilo,uliamini kuwa linaweza YOTE. Endapo wachawi watakuzuia, leo uamke usiku na kuyang’oa mageti yao yote ya kuzimu waliyokuwekea katika Jina la Yesu. Biblia inasema wateule watakapopakanyaka patakuwa pao maana yake watakuwa na mamlaka ya kupatiisha kwa jina la YESU waliyenaye, hata utawala wa shetani utasalimu amri maana wao wana BWANA YESU mwenye nguvu zote milele. Namshukuru Mungu kwakuwa amekuwa akiniponya magonjwa kila yanaponiijia. 5. Ita jina la Yesu. Tumia mamlaka yako katika Kristo 28 Yesu akawajibu, “Ninawahakikishia kwamba, katika dunia mpya, wakati mimi Mwana wa Adamu nitakapoketi kwenye kiti changu cha utukufu cha enzi, ninyi mlionifuata pia mtaketi katika viti vya enzi kumi na viwili, mkiyahukumu yale makabila kumi na mawili ya Israeli. Jina hili lenye nguvu na mamlaka ni zawadi kwa Kanisa. 🔥 Jina hilo linapita majina yote . ”Akirejelea mstari wa 18, Meyer anasisitiza dhana hii ya Nakwenda kinyume na Kila uonevu wa shetani Kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO! Enyi mizimu tokaaaaaaaaaaaaaaa mwachilieee upesi ndugu huyu Kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO! Majini mahaba achiliaaaaa mahusiano ya ndugu huyu sasa kwenye ndoa kwenye uchumba ninasema achiliaaaaa Kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO. Hii inaonyesha umuhimu wa jina hilo katika imani ya Wakristo. Kwa Jina hili Kanisa linatumia nafasi ya utendaji ya Yesu duniani kwa kuzifanya kazi zake. 2 Hapo, alikuwapo mtu mmoja mkuu wa watoza kodi na pia mtu tajiri, jina lake Zakayo. Imeandikwa “Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, Katika hatua hii ya nne(4) una mamlaka ya YESU tena waweza hata kuamuru mapepo na nguvu za giza au kufunga kila kazi za shetani za uharibifu na ikafanikiwa. Kifungo cha shingo. Yesu aliwakumbusha kuhusu Zaburi 82:6—akirejelea kifungu hicho (Warumi 14:10-11, imeelezwa). Kanisa La Efatha Natangaza kwamba kila eneo la maisha yangu limerejeshwa kwa mpango na kusudi la Mungu la asili, kwa jina la Yesu. 90 likes, 9 comments - efatha_church_mbeya on March 5, 2025: "TANGAZO: 1. Ni rahisi kwao kuamini kuwa Jina hili lina nguvu kutushindia vita vya kiroho lakini si vya majeshi ya wanadamu. " This powerful phrase reminds us that we can live each day with confidence and joy, knowing that we have the strength and protection of Jesus on our side. Maisha ya muumini yeyote anafaa kuishi kwa jina la Yesu (Wakolosai 3:17) na kwa kufanya hivyo inamletea Mungu utukufu: "Kwa namna hiyo, jina la Bwana wetu Yesu litapata utukufu kutoka kwenu, nanyi mtapata utukufu kutoka kwake kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Katika mistari hiyo tunaona ya kuwa Jina la Yesu Kristo lina mamlaka mbinguni, duniani na chini ya nchi au kuzimu. “BWANA ameweka kiti chake cha enzi mbinguni, Na ufalme wake unavitawala vitu vyote” (Zaburi Ni rahisi tu, umepewa mamlaka ya kuwatupa nje na hawana uwezo wa kukataa kutoka. on Facebook. Hivyo hakuna jambo lolote alifanyalo Yesu lisilo kuwa na uhusiano na Mungu, huku jambo lile likifunua siri ya Mungu kila kukichwa. Bwana YESU KRISTO atukuzwe ndugu yangu. Kuna mamlaka nne za MUNGU kwa Mkristo ambazo mamlaka hizo humfanya Mkristo kuwa mshindi daima. Email or phone: Password: Forgot account? Sign Up. Mtu mmoja anayeitwa Ainea alikuwa amepooza kitandani kwa miaka Sio swala la kwamba "una nguvu" kiasi gani au jinsi gani upo "kiroho" ; cha muhimu ni kuwa Yesu Amekupa mamlaka Yake; unatembea katika jina Lake. -Mungu anakupa neema ya kumiliki malango ya magonjwa hayatasimama kwenye familia yako wala kwako kwa jina la Yesu. Shetani hana haki ya kuendesha mambo katika maisha yako, au nyumbani mwako Hizo tano zitoshe kukupa ufahamu mpana zaidi juu ya damu ya Yesu Kristo katika kutoa pepo tunatumia mamlaka ya jina la Yesu sio damu,, ikiwa ni ulinzi wa nyumba/familia si kwa damu ya Yesu la bali ni kwa mamlaka ya jina la Yesu Kristo nguvu zake zizingile nyumba/familia yako na sio damu ndio ifunike. Mwabie Shetani kuwa kuanzia leo, hana mamlaka na mali zako zote. Nakutangazia kwa mamlaka ya jina la Yesu baraka zako zikakufukuzie na kukupata. Kwa nguvu za Arnold Kisanga. Alizaliwa na bikira Maria kwa uwezo wa Roho Baba katika jina la Yesu Kristo, Mungu mwenye nguvu na mamlaka, tunakushukuru. SALA YA ASUBUHI. Kama Biblia isemavyo kuwa kuwa Imani huja kwa kusikia Neno la Kristo(Warumi 10 :17)basi ni lazima kusoma maandiko sahihi yanayofundisha kuhusu Jina la YESU. Chimbuko ya neno Tuangalie mfano mmoja hapa wa mitume wa Yesu walipotumia mamlaka ya jina la Yesu kutatua matatizo ya watu yasiyowezekana kabisa kwa wanadamu. Litumie jina hili kwenye maombi yako sasa na hata unapokabiliwa na hatari ya ghafla wakati wowote ule. Kwamba kila tulichoomba Kwa jina la Yesu 67. ” Katika Agano la Kale, jina lingine la Israeli, Yakobo, linafafanuliwa kwa kutumia maneno kama vile “udanganyifu” au “hila”. Katika Zaburi 18:2, Biblia inasema, "Bwana ndiye jabali langu na ngome yangu, na mwokozi wangu; Mungu wangu, jabali langu ambamo nitakimbilia; Kondoo wa Mungu wangu, ambaye atanifanya nipae juu ya mahali pa juu kabisa. Utangulizi Kimsingi kufanikiwa au kuharibikiwa lazima ufahamu kuwa ipo madhabahu inayowezesha maisha ya mwanadamu na utaona Muongozo wa Neno la Msingi linaanza na kusema Mungu ametuweka ili kung’oa kama mamlaka ya jina la Yesu itamtoa kwenye magumu,yani hawaamini ilo neno kweli Lina mamlaka ya kumaliza shida yake iyo ndo tatizo. 4 Kwa hiyo akatangulia mbio mbele ya umati akapanda juu ya mkuyu ili amwone Yesu ambaye angepitia Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti, simama uende,” Mdo 3:6. Kwa mfano, Kumbuka kuwa Ayubu aliishi katika agano la kale na sisi tunaishi katika agano jipya ambalo ndani yake tuna mamlaka ya kumfunga shetani kwa jina la Yesu Kristo. Kutumia majina mengine ni sawa na kukosea anwani wakati wa kutuma barua, ni kweli barua itaenda ila usitegemee kupokea majibu uliyotarajia kwa kuwa barua haitaenda Ni rahisi tu, umepewa mamlaka ya kuwatupa nje na hawana uwezo wa kukataa kutoka. Alikuwa anawapa—na amewapa wote wamwaminio—“mamlaka yake,” haki ya kisheria ya kutumia jina lake. Mithali 22:1 *‘’Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi; Na neema kuliko fedha na dhahabu‘’* Kila mtu ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana. Worship. Katika Luka 10:19, Yesu anasema, "Tazama, nawapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za adui, wala hakuna kitu chochote kitakachowadhuru. baba katika jina la yesu kristo, umenituma na kunipa mamlaka katika yeremia 1:9-10 na katika luka 10:19 ukaniambia katika mathayo 16:19 ninasimama kwa maneno hayo kwa mamlaka ya jina la yesu kristo, ukasema katika hesabu 23:23 hakuna uchawi ktk yakobo, kwa neno hilo nasimama kwa mamlaka ya ni jina moja pekee ambalo limetukuka hakuna jina lenye nguvu, uweza ,mamlaka, ukuu zaidi ya jina la yesu. Kwa sababu ni kumtupa nje adui basi ni muhimu sana kujua kwamba hutakiwi Hebu sasa tuhitimishe pale tulipoanza---katika Bustani Takatifu. " •• Nimekumbushwa uponyaji mwingine wa ajabu ambao Bwana alimtumia Petro kuhudumu. Wakati Yesu anatengeneza kanisa alitambua kuwa kutakuwa Kwasababu popote atakapoenda kwa kutumia jina la Rais basi na ile mamlaka ya kiutendaji wa jina hilo utaambatana nae. Mamlaka na nguvu zake zipo katika jina lake. Ambayo kwayo alijulikana sana. +Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Kwa sababu ya kilichotokea katika asubuhi hiyo njema ya msimu wa mchipuko, muda usio kitambo sana, una haki ya kufundisha kwa nguvu na mamlaka ya Mungu. Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu mmoja, sasa na siku zote na milele amina. “Basi Petro na Yohana walikuwa wakikwea pamoja kwenda hekaluni, saa ya kusali, saa tisa. Yesu amehamishia mamlaka yake na nguvu ndani ya Kanisa kwa njia ya kulipa Kanisa Jina lake. Turudi sasa kwa Mfalme Yesu,ambaye ni zaidi ya marais na wafalme wote wa duniani. Likiwa moja wapo ya funguo za ufalme wa mbinguni, jina la Yesu linatupa MAMLAKA mbinguni, duniani na chini ya nchi. Tunaweza kujifunza kwa Mtume Paulo alivyomtoa pepo Yule kijakazi, akaamuru kwa kumwambia Yule pepo, “. # izo ni shuhuda nilizofutilia mahali baada ya kuwa najifunza kuhusu vita vya wakuu wa Giza. Karibu tujifunze Neno la MUNGU. Kwa mfano, Waefeso 6:12 inasema, "Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho". or. Mwongozo wa Kanisa. Ndoto za namna hii huwa ni Mungu anaamua kumjulisha mtu vile alivyo au juu ya aibu itakayo mpata au iliyompata. Kwa sababu ni kumtupa nje adui basi ni muhimu sana kujua kwamba hutakiwi kumbembeleza adui huyo bali ni kukemea kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO. MAMLAKA YA KULITUMIA : Ukishaokoka unakuwa na uhalali wa kulitumia Jina la Fanuel Sedekia - Jina la Yesu Chorus / Description : Jina la yesu ni ngome yangu nitamkapo jina hilo ngome nyingine sina nitamkapo jina hilo Jina la Yesu na Mamlaka Yake. Mwambie kuwa leo unafahamu kuwa wewe ni mtoto wa Mungu na umebarikiwa na Mungu aliye juu. mamlaka ya jina la yesu tuliyopewa ndio mamlaka inayotawala mbingu ya kwanza, ya pili, na ya tatu pia. 13 Kitu cho chote mtakachoomba kwa jina langu, nitawafanyia, ili Baba yangu apate kutukuzwa kwa yale ambayo mimi Mwanae nitawafanyia. Mageti ya Maroho ya chuma ulete na madeni hayana mamlaka juu yetu katika jina la Yesu, kila roho za ukaufu na mfilisi tunazipiga Kwa mamlaka ya jina la Yesu. Moyoni - Nimempata Yesu Moyoni; Jina la Yesu ; Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo lihimidiwe. In Swahili, this is referred to as "Kuishi Kwa Imani katika Nguvu ya Jina la Yesu. “Kwa “Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina (mamlaka) lipitalo kila jina; ili kwa Jina la Yesu (kwa mamlaka ya Yesu) kila goti lipigwe” Wafilipi 2:9-11; ling. kwa jina la Yesu. “Nami nakuambia . Nakutangazia kwa mamlaka ya jina la Yesu, kuanzia sasa miujiza ambayo haielezeki ikaanze kutokea katika maisha yako. Nguvu ya Jina la Yesu: Ushindi juu ya Majaribu ya Maisha ya Kila Siku . Watu wengi hawategemei kuwa Jina la YESU lina nguvu ya kutusaidia katika vita tulivyonavyo hapa duniani. na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. Kwa mamlaka ya jina la Yesu tunakwenda kinyume na kila roho chafu na mapepo wabaya katika jina la Yesu Kristo. Isaya 52:2 "Jikung'ute mavumbi; uondoke, Uketi, Ee Pia tunapaswa kufanya vizuri kuchunguza Wafilipi 2:10, "Ili kwa jina la Yesu magoti yote yapinde, ya mbinguni, na ya duniani, na ya chini ya dunia; na kila ulimi ukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba, Huu ni wakati wa kujua chanzo chako na jina la mamlaka. “hakuna jina jingine, chini ya mbingu tulilopewa wanadamu ambalo tunapaswa kuokolewa Yesu Kristo alitaka sisi tumwaminio tujue ya kuwa kwa jina lake tuna mamlaka juu ya mapepo. 12 Ninawaambia hakika, mtu ye yote akiniamini ataweza kufanya miujiza kama hii na hata zaidi, kwa kuwa mimi ninakwenda kwa Baba yangu. Wafilipi 2:9--14 Yohana 14:14 Mathayo 16:14--16 Yohana 17:12@elctkondediocese @elctnedonlinetv @UpendoMedi JIBU: Ili kuelewa tofuati ya utendaji kazi wa damu ya YESU na Jina Jina la Yesu, Ni vizuri kwanza tukajifunza katika maisha ya kawaidaKatika maisha ya kawaida mtu anayo DAMU na vilevile analo JINAJina la mtu linaelezea utambulisho wa mtu yule, cheo alicho nacho, heshima aliyo nayo, nguvu aliyo nayo na mamlaka aliyonayo. ” 1 Petro 2:21 Yesu aliacha kielelezo. 1:47 unayeweza kumwamini Kwa maana ya kawaida, “Ambaye ndani yake hamna hila. Ni kwasababu jina hili ndilo jina lililo kuu kuliko majina yote hapa Jina la Yesu ni ngome yetu: Jina la Yesu linatupa ulinzi wa kiroho na ngome dhidi ya maadui wetu wa kiroho. Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu” Yesu anapokuokoa anakupa MAMLAKA ya kulitumia Jina lake kwa sababu uko chini yake, lengo uweze kuwa na MAMLAKA YA YESU ili ushinde mamlaka ya giza. Jukumu la kwanza tulilopewa wanadamu na MUNGU Muumba wetu ni kutawala. MAMLAKA YA JINA LA YESU KRISTO. Kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, maana yake Jina la Yesu lipate heshima inayostahili kila mahali. Ukatuneemeshe BWANA, ukatufanikishe Mfalme wetu sawasawa na Yesu. 4. lrdcgcpcykhivedwkksanonreofssaqmfloturovkwtqrrsgogtnukabwqrcwigunflgimwp